Saturday, 25 April 2026

Wewe Shetani Sikia Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Wewe Shetani Sikia Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


1. Wewe Shetani sikia tena sikia

Unayo masikio nasema sikia

Wewe una makao hapa duniani

Mimi nina makao kwa Baba mbinguni

Mimi si wako ninaye Yesu

Urafiki wangu nawe watoka wapi?

Nipishe njia naelekea mbinguni (O-Ooh)


Refrain

Wewe ulifukuzwa mbinguni

Na kuhukumiwa kifo milele (Milele)

Maishani mwangu ninaye Yesu

Kwenye shida kwenye raha ni Yesu (Ni Yesu)

Moyoni mwangu nina amani

Amani itokayo kwa Yesu (O-Ooh)

Nasubiri kao jipya (O-Ooh)


2. Wewe Shetani sikia tena sikia

Huna nafasi katika maisha yangu

Hukumu yako bila shaka waijua

Utakinyweya kikombe chako mwenyewe

Huna nafasi moyoni mwangu

Tambua leo ninaye Yesu rafiki

Nipishe njia naelekea mbinguni.


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Kurasini Vol 31, Bedi Score, Bedi Lyrics

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...