Yuko Asiyechoka Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
1. Yuko asiyechoka (Yeye hachoki)
Kwa ajili yangu Yeye hachoki
Yuko asiyelala Ni Mwana wa Daudi
Usiku kama mchana (Kama mchana)
Hachoki kuwa nami
Huyu ni Yesu (Yesu) Ninayejivunia
Refrain
Siachi Kamwe! Kamwe! Kamwe! Kusifu jina lake
Yeye ni wangu mimi wake, Si wakutengwa naye
Chukua vyote, Chukua vyote, Uniachie Mwokozi
Kuishi kwangu (Kwangu), Ni Mwana wa Daudi.
2. Ni mwingi wa rehema (Wa rehema)
Tayari kuokoa, Anaokoa
Aletaye faraja kwa wale wamchao
Usiku kama mchana (Kama mchana)
Hachoki kuwa nami
Huyu ni Yesu (Yesu) Ninayejivunia.
Kurasini SDA Choir.
Php 1:21 For to me to live is Christ, and to die is gain.
Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Kurasini Vol 31, Bedi Score, Bedi Lyrics