Akamtemea Mate (Utakuwa Sawa) Lyrics sung by Voices of Praise
1. Akamtemea mate na macho (Macho)
Akamuwekea mikono (Yesu)
Akamuuliza, ‘Waona kitu?’
Yule kipofu ame-1-?
La-la-la-la lalalala
'Naona watu kama miti, ila kwendao sioni vizuri'
Akaweka tena mikono yake, juu ya macho yake
Akatazama sana, akaona vyote waziwazi.
Refrain
Refrain
(Eeh Yesu),
Gusa mtumishi wako,
Gusa mara ya pili
Na ya tatu, Na ya nne, Ya tano (Ya tano)
(Na tena, Ya sita, Ya saba, Ya nane
Mara nyingine, mguse tena.
2. Pana matumaini, mimi na wewe,
Tukiungana twaweza fanya makubwa
Kama huwezi omba sasa,
Waeza toa hata kidogo
Ndugu wetu apate mwona dakitari
Twauliza,
‘Ajuaye ya kesho ni nani?’ (Ni nani?)
Kama waweza toa, hata kidogo
Pengine hilo tendo litaokoa kesho yako
Kwa pamoja twaweza fanya mabadiliko.
Bridge
Tushirikiane (Sote),
Tuvute pamoja (Ndugu),
Kwa mbali Mungu anatazama (Anatazama),
Mema utendayo, (Ndugu)
Mbingu yanakili, (Kweli),
Hakika nawe utabarikiwa (Utabarikiwa)
Outro I
(E ndugu mpendwa), Utakuwa sawa,
Sawa kwa jina la Yesu,
Tunaye Mungu mkubwa (-2-?)
-3-? (Atashinda, yake si kitu (Hospitali)
Hakika Mungu wetu (Leo hii)
‘tatushindia (Usihofu)
Outro II
Utakuwa sawa,
Sawa kwa jina la Yesu,
Tunaye Mungu mkubwa (Tunaye Mungu mkubwa)
-3-? (Kosa kitu kwake) yake si kitu (Si kitu kwake)
Hakika Mungu wetu
‘tatushindia.
Refrain
(Eeh Yesu),
Gusa mtumishi wako,
Gusa mara ya pili
Na ya tatu, Na ya nne, Ya tano (Ya tano)
(Na tena, Ya sita, Ya saba, Ya nane
Mara nyingine, mguse tena.
For Revision: Stanza 1, Line 3; Yule kipofu ame-1-?
Outro 1, Line 3; Tunaye Mungu mkubwa (-2-?)
Outro 1, Line 4 & Outro 2, Line 4; -3-? (Atashinda, yake si kitu (Hospitali)
Voices of Praise.
Voices of Praise, SDA Swahili Songs, SDA Swahili Classics, Bedi Score, Bedi Lyrics