Monday, 11 May 2026

Je Umepata Kusikia Habari (Yerusalemi) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Je Umepata Kusikia Habari (Yerusalemi) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


Verse

Je umepata kusikia habari,

Ya Yerusalemi ukishuka angani?

Je ndugu utakuwepo juu angani,

Yerusalemi ukishuka?

Dunia yanikatisha tamaa, nirudi nyuma

Lakini mimi, sirudi nyuma

Napaa angani, Yerusalemi.


Yerusalemi, utashuka juu angani

Mji wa raha, tutawala na Yesu


Yerusalemi, utashuka juu angani

Mji wa raha, tutawala na Yesu


Refrain 1

Nitaendesha gari la kifalme,

Nitakapofika juu Mbinguni

Nikizunguka kwenye mitaa ya Mbinguni,

Mbinguni kwa Yesu

Usiku mchana hauishi,

Mji ni mzuri wa ajabu

Nitaingia kwa shangwe,

Kwenye mji ule, Mji wake Yesu


Refrain 2

Nitaendesha gari la kifalme,

Nitalivaa joho la kifalme

Mimi nakwenda, sitarudi nyuma

Mimi nakwenda, nakwenda Mbinguni


Nitaziba masikio yangu, nisisikie ya walimwengu

Nisikie sauti ya Yesu, ikisema moyoni mwangu


Nitaziba masikio yangu, nisisikie ya walimwengu (Na)

Nisikie sauti ya Yesu, ikisema moyoni mwangu


Nami nitakaa nyumbani, mwa Baba milele.


Bridge

Yerusalemi, tutaingia kwa shangwe

Tutasahau, masumbuko ya dunia


Yerusalemi, tutaingia kwa shangwe

Tutasahau masumbuko ya dunia


Refrain 1

Nitaendesha gari la kifalme,

Nitakapofika juu Mbinguni

Nikizunguka kwenye mitaa ya Mbinguni,

Mbinguni kwa Yesu

Usiku mchana hauishi,

Mji ni mzuri wa ajabu

Tutaingia kwa shangwe,

Kwenye mji ule, Mji wake Yesu


Refrain 2

Nitaendesha gari la kifalme,

Nitalivaa joho la kifalme

Mimi nakwenda, sitarudi nyuma

Mimi nakwenda, nakwenda Mbinguni


Nitaziba masikio yangu, nisisikie ya walimwengu

Nisikie sauti ya Yesu, ikisema moyoni mwangu


Nitaziba masikio yangu, nisisikie ya walimwengu (Na)

Nisikie sauti ya Yesu, ikisema moyoni mwangu


Refrain 2

Nitaendesha gari la kifalme,

Nitalivaa joho la kifalme

Mimi nakwenda, sitarudi nyuma

Mimi nakwenda, nakwenda Mbinguni


Nitaziba masikio yangu, nisisikie ya walimwengu

Nisikie sauti ya Yesu, ikisema moyoni mwangu


Nitaziba masikio yangu, nisisikie ya walimwengu (Na)

Nisikie sauti ya Yesu, ikisema moyoni mwangu


Outro

Nami nitakaa nyumbani, mwa Baba milele.


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Kurasini Vol 29, Bedi Score, Bedi Lyrics

Nikitazama Dunia (Ukimwi) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Nikitazama Dunia ( Ukimwi ) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir 1. Nikitazama dunia, Inaombolezayo waya waya Magonjwa yenye kutisha, Yanavyowa...