Yaliyobaki Mwenzangu Lyrics sung by Sisters of Christ
1. Yaliyobaki mwenzangu ni kumtukuza Mwokozi Yesu
Alishuka chini kafa msalabani ili uokolewe
Yaliyobaki mwenzangu ni kumtukuza Mwokozi Yesu
Alishuka chini kafa msalabani ili uokolewe
Yaliyobaki mwenzangu ni kumtukuza Mwokozi Yesu
Alishuka chini kafa msalabani ili uokolewe
Refrain
Sitasahau urafiki, sitasahau ukarimu
Sitasahau damu yake iliyonisafisha (Aah)
Mbona wamkimbia Bwana rudi uokolewe
Yesu bado akuhitaji hajakusahau mwenzangu
Mbona wamkimbia Bwana rudi uokolewe
Yesu bado akuhitaji hajakusahau mwenzangu
2. Atakapokushuka kwa mara ya pili je ndugu utamuona?
Je utamlaki au kutoroka uso wa Bwana Yesu
Atakapokushuka kwa mara ya pili je ndugu utamuona?
Je utamlaki au kutoroka uso wa Bwana Yesu
Atakapokushuka kwa mara ya pili je ndugu utamuona?
Je utamlaki au kutoroka uso wa Bwana Yesu
Sisters Of Christ.
Sisters Of Christ, SDA Swahili Songs, Bedi Score, Bedi Lyrics