Aniongozaye Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
Prelude
Aniongozaye, amenipa nguvu
Kuwa na Yesu, Ni Eli.
Refrain
Ninafurahishwa nawe wakati wa raha
Yakiwapo majaribu, hunitia nguvu
Neno lako lanitosha, Uniongoze
Pekee yangu siwezi, Nitaanguka.
1. Uliponitafuta sikutambua
Uliponong’oneza ningejua aje?
Bila wito wa Yesu ningepotea
Nafurahi ni huru namjua Mungu.
Refrain
Ninafurahishwa nawe wakati wa raha
Yakiwapo majaribu, hunitia nguvu
Neno lako lanitosha, Uniongoze
Pekee yangu siwezi, Nitaanguka.
2. Ninapo dhaminia kurudi kwako
Ninapotaabishwa na machafuko
Nakumbuka zilivyo huruma zako
Nafurahi ni huru kuwa na wewe.
Refrain
Ninafurahishwa nawe wakati wa raha
Yakiwapo majaribu, hunitia nguvu
Neno lako lanitosha, Uniongoze
Pekee yangu siwezi, Nitaanguka.
Outro
Aniongozaye, amenipa nguvu
Kuwa na Yesu, Ni Eli.
NOTES
Prelude & Outro: Line 2; Kuwa na Yesu, Ni Eli...
Eli, Eli, lama sabakthani? maana yake; Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?
Kurasini SDA Choir.
Kurasini SDA Choir Vol 26, Kurasini Classics, Bedi Score, Bedi Lyrics