Nipo Bwana Nitume Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
1. Nipo Bwana nitume, Ni tayari Kwenda
Ila mbele yangu, Kuna vikwazo vingi
Refrain
Ukutaa huu, Bwana ubomoe,
Na kwa mapenzi yako, Niweze kupita
Ukuta huu, Bwana mpaka lini?
Utatuweka huru, Njia iwe wazi?
3. Sina uwezo Bwana, Juu ya ukuta huu
Umenizuia, Nisiweze kuvuka.
Kurasini SDA Choir.
Kurasini SDA Choir Vol 26, Kurasini Classics, Bedi Score, Bedi Lyrics