Haya Tunayoyaona Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
1. Haya tunayoyaona, Yanayotupendeza
Yanayotuhangaisha, Yote yatapita, Yote yatapita.
Refrain
Tafuta uzima kwanza, Ya dunia yanapita
Heri maskini wa roho, Watamuona Bwana.
2. Ndio ahadi ya Bwana, Kwa wanaomwamini
Leo watafadhaika, Kesho ni furaha, Kesho ni furaha.
Kurasini SDA Choir.
Kurasini SDA Choir Vol 28, Kurasini Classics, Bedi Score, Bedi Lyrics