Tuesday, 2 June 2026

Kama Nilivyotumwa Duniani Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Kama Nilivyotumwa Duniani Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


Refrain

Kama nilivyotumwa duniani, Nami pia ninawatuma ninyi

Enendeni ulimwenguni mwote, Wahubirini waokoke

Ulimwenguni mtaona dhiki (Jipe moyo), Nipo nanyi siku zote

Nani ataweza kusimama,

Pasipo ‘tegemea Bwana Yesu? Jipeni moyo.


1. Ushindi na Yesu ni hakika, alisema mwenyewe

Niite wakati wa taabu, nami nitaitika

Yale magumu msiyoyaweza nitawafunulia.


2. Mimi nimeshinda ulimwengu, Nimepewa mamlaka

Nitawapa roho mtakatifu, -? Msaidizi

Mbinguni wanasifu ukombozi, U mikono ni mwake.


For Revision: Stanza 2, Line 2; Nitawapa roho mtakatifu, -? Msaidizi'; Kama msaidizi, Omba msaidizi


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir Vol 28, For Revision, Bedi Score, Bedi Lyrics

Ndoa Ilibarikiwa Lyrics sung by Diana Gesare

Ndoa Ilibarikiwa Lyrics sung by Diana Gesare 1. Ndoa ilibarikiwa na Mungu , Ilianza pale Edeni Kwani Mungu aliona, si vyema Adamu , Awe pek...