Sunday, 14 June 2026

Kama Mungu Aishivyo Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Kama Mungu Aishivyo Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


Refrain

Kama Mungu aishivyo, nitamuihimidi

Sitaikana imani, nitasonga mbele

Japo kuwa ni gharama, ni gharama,

Kamwe sitamuacha Yesu, Mkombozi wangu

Kamwe sitamuacha Yesu, Mkombozi wangu.


1. Mara nyingi nimezama, katika mawazo; uuh-uuh

Nikifikiria sana, nchi hayo ya Mbingu

Na mara nikifikia kukata tamaa

Nikumbukapo Msalaba napata nguvu.


Refrain

Kama Mungu aishivyo, nitamuihimidi

Sitaikana imani, nitasonga mbele

Japo kuwa ni gharama, ni gharama,

Kamwe sitamuacha Yesu, Mkombozi wangu

Kamwe sitamuacha Yesu, Mkombozi wangu.


2. Iinipasa kujua, sababu ya dhambi; uuh-uuh

 Nikaelewa ya kuwa, Shetani ni chanzo

Kusudi lake baya tu, kuku-?ka mambo

Ndio ugomvi haraka, kati ya watu.


For Revision

2.3: Kusudi lake baya tu, kuku-?ka mambo; kukuduka-?


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir Assorted 2, Kurasini Classics, For Revision, Bedi Score, Bedi Lyrics

Usiku Wa Manane Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Usiku Wa Manane Lyrics sung by Kurasini SDA Choir Pre-Chorus Usiku wa manane , kelele zikasika, Amini; Usiku wa manane, kelele zikasika. Ref...