Thursday, 11 June 2026

Kila Siku Nena (Unene Nami Bwana) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Kila Siku Nena (Unene Nami Bwana) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


1. Kila siku nena nami Bwana,

Nionyeshe njia yako

Nong’oneza moyoni kwa pole,

Nena nami e Bwana.


Refrain

Unene nami Bwana,

Mapito yangu -? uniongoze

Unene e Bwana,

Nong’oneza kwa pole.


2. Kila mara uwe nami Bwana,

Nyayo zako nizifuate

Lainisha moyo wangu Bwana,

Nena nami e Bwana.


3. Kama mitume zamani zile,

Ulinena nao Bwana

Najishusha kwako Bwana wangu,

Nena nami e Bwana.


For Revision

R2: Mapito yangu -? yangu tu, Mapito yangu juu.


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir Assorted, Kurasini Classics, For Revision, Bedi Score, Bedi Lyrics

Acheni Kristo Aitwe Kristo Lyrics Sung by Kurasini SDA Choir

Acheni Kristo Aitwe Kristo Lyrics Sung by Kurasini SDA Choir 1. Acheni Kristo, aitwe Kristo; Ni mfalme, Yule wa zamani, Kristo wa leo hii; ...