Tuesday, 2 June 2026

Ninapofikiria Bustani Ya Edeni Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Ninapofikiria Bustani Ya Edeni Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


Refrain

Ninapofikiria Bustani ya Edeni,

Ilivyopambwa vizuri, Yapendeza macho,

Mito yatiririka, Mambo yote ni mazuri

Mungu akiwapo kati yao kila siku.


Verse

Dhambi ikapendeza na kuharibu Edeni

Utukufu wa Mungu ukatoweka kabisa,

Hofu ikatawala, uovu ukazidi

Ulinzi ukatoweka, bustanini.


Refrain

Ninapofikiria Bustani ya Edeni,

Ilivyopambwa vizuri, Yapendeza macho,

Mito yatiririka, Mambo yote ni mazuri

Mungu akiwapo kati yao kila siku.


Verse (Outro)

Lakini jambo moja niwaambieni mjue

Tutaiona tena Bustani hiyo nzuri,

Iliyojawa na nuru (Ya mbinguni) siku zote


Tutaiona tena Bustani hiyo nzuri,

Iliyojawa na nuru (Ya Mbingu) siku zote.


Tutaiona tena Bustani hiyo nzuri,

Iliyojawa na nuru (Ya mbinguni) siku zote

Tutaiona tena Bustani hiyo nzuri,

Iliyojawa na nuru (Ya mbinguni) siku zote.


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir Vol 26, Kurasini Classics, Bedi Score, Bedi Lyrics

Ndoa Ilibarikiwa Lyrics sung by Diana Gesare

Ndoa Ilibarikiwa Lyrics sung by Diana Gesare 1. Ndoa ilibarikiwa na Mungu , Ilianza pale Edeni Kwani Mungu aliona, si vyema Adamu , Awe pek...