Tukaribie Msalaba Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
Refrain
Tukaribie msalaba, Mti uletao uzima,
Damu yake inatakasa.
1. Mliosumbuka kwa miaka mingi; Damu yake inatakasa
Yesu anawaita wote; Damu yake inatasa
Mliosumbuka na kulemewa; Damu yake inatakasa
Yesu anawaita wote; Damu yake inatakasa.
Refrain
Tukaribie msalaba, Mti uletao uzima,
Msalaba, Msalaba wa Kalvari
Damu yake inatakasa.
2. Mbona mnasita kuja kwa Yesu? Damu yake inatakasa
Kwa huruma anakuita; Damu yake inatakasa
Masumbuko yako umtwishe leo; Damu yake inatakasa
Yesu anawaita wote; Damu yake inatakasa.
Kurasini SDA Choir.
Kurasini SDA Choir Vol 26, Kurasini Classics, Bedi Score, Bedi Lyrics