Tuesday, 2 June 2026

Ungeimba Wimbo Wa Sifa Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Ungeimba Wimbo Wa Sifa Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


1. Ungeimba wimbo wa sifa, ukimsifu Mungu wetu

Lakini bado hujaimba wa Mwanakondoo,

Ukimsifu Mkombozi ukiwa naye

Lakini bado hujaimba wa Mwanakondoo,

Ukimsifu Mkombozi ukiwa naye.


Refrain

Nitapiga tarumbeta (Tarumbeta)

Nitapiga na kinubi (Na kinubi)

Nitapiga zeze langu,

Kuimba wimbo mpya (Oh Haleluya)

Tulia eh moyo wangu (Moyo wangu)

Tulia katika Bwana (Tulia kwa Bwana)

Tulia moyo wangu, Miguuni pa Yesu.


2. Kinyonge hakitaingia, kuimba wimbo ule mpya

Utengeneza mambo yako, una nafasi

Mapambazuko ni karibu, mfalme aja

Utengeneza mambo yako, una nafasi

Mapambazuko ni karibu, mfalme aja.


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir Vol 26, Kurasini Classics, Bedi Score, Bedi Lyrics

Ndoa Ilibarikiwa Lyrics sung by Diana Gesare

Ndoa Ilibarikiwa Lyrics sung by Diana Gesare 1. Ndoa ilibarikiwa na Mungu , Ilianza pale Edeni Kwani Mungu aliona, si vyema Adamu , Awe pek...