Ninaye Rafiki Wa Thamani Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
1. Ninaye rafiki wa thamani, Anipendaye tena mlinzi mwema
Japo mwovu anitenge naye, Hunirejesha kwa upole mwingi
Huniwezesha kutafakari, Nafsi yangu itangapo mbali naye.
Refrain
Je nani wa kunitenganisha na Mwokozi wangu? (Kwa kweli)
Hunitunza vyema hunipa furaha moyoni.
2. Ninaye rafiki wa thamani, Mlinzi wangu bondeni mwa mauti
Adui ajapo mbele yangu, Hunilinda niwapo mashakani
Hunihuhisha huniongoza Nimtegemeapo ninafarijika.
Kurasini SDA Choir.
Kurasini SDA Choir Vol 28, Kurasini Classics, Bedi Score, Bedi Lyrics