Umemgusa Bwana Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
1. Umemgusa Bwana maishani mwako
Umeketi naye mezani
Yaliyo magumu amekuonyesha
Umekuwa kiumbe kipya.
Refrain
Umemgusa Bwana umebadilika
Maisha ya kale yamebadilika
Umemgusa Bwana, umeona nuru
Umekuwa kiumbe kipya
Umekuwa kiumbe kipya.
2. Wanaheri wale walomgusa Yesu
Wameponywa mioyo kwa damu
Mawimbi yakija hawatatikiswa
Wamejenga juu ya mwamba mwamba
Wamejenga juu ya mwamba mwamba.
Kurasini SDA Choir.
Kurasini SDA Choir Vol 28, Kurasini Classics, Bedi Score, Bedi Lyrics