Njia Ya Kwenda Kalvari Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
Refrain
Twaitazama kwa huzuni nyingi (oh huzuni nyingi)
Njia ya kwenda Kalvari,
Yesu hakuvaa viatu
Oh, Yote kwa ajili yetu,
Taji ya miba, alivaa kichwani
(Msalaba)/Msalaba begani kabeba,
Na mijeledi Yesu alipigwa (Yesu alipigwa).
1. Tafakari kisa cha Kalvari, utafakari
Ali-? kifo cha aibu, hakusema neno,
Wanadamu leo wamdhiaki, Wanamkana Bwana
Ole, Ole inakuja
Wanadamu wataomboleza, wataomboleza.
2. Fuata njia, njia ya Kalvari, mfuate Yesu
Beba Msalaba,
Kwa gharama jiweke tayari
Ongoza Kalvari,
Jipe moyo Wokovu karibu (Wokovu karibu)
Yesu yu mlangoni
Fuata njia ya Kalvari,
Mfuate Yesu njia ya Kalvari, njia ya Kalvari.
For Revision
1.2: Ali-? kifo cha aibu, hakusema neno,
Kurasini SDA Choir.
Kurasini SDA Choir Assorted 2, Kurasini Classics, For Revision, Bedi Score, Bedi Lyrics