Usiniache Bwana Lyrics sung by Diana Gesare
1. Usiniache Bwana mimi ninakuhitaji,
Kwenye safari yangu ya kwenda Mbinguni,
Iliyojawa na mabonde pamoja na milima, usiniache.
Refrain
Wewe ni taa yangu; --We ni taa yangu, We ni taa yangu--
Naomba nimulikie; --Baba nimulikie--
Wewe ni ngome yangu; -- Wewe ni ngome yangu--
Bwana nishike mkono; --Tembea nami Bwana--
Tembea nami Bwana; --Tembea nami Bwana—
Kamwe usiniache; --Tembea nami Bwana—
Tembea nami Bwana –Kamwe/Usiniache--
2. Kwenye safari hii, wengi wakataa tamaa
Wengi wanaiacha imani ya Bwana Yesu
Leo tunakuomba utushike mkono, usituache.
For Revision: Review the the Refrain. Add the vatiation
Diana Gesare.
Diana Gesare, For Revision, Bedi Score, Bedi Lyrics