Tulia Kwa Yesu Ushindi Lyrics Sung by Kurasini SDA Choir
1. Tulia kwa Yesu,
Uwe mshindi, yatulia
Kwa hali yote, tembea naye
Japo safari ni shida
Huzuni nyingi (sana),
Japo safari ni shida
Huzuni nyingi (sana),
Ataonyesha njia.
Refrain
Aliahidi mwenyewe,
Ataleta faraja tele
Tuliitapo jina lake (Bwana),
2. Mfungulie Mungu,
Uwe mshindi, kafungulie
Ushindi wake ni wa hakika
Tafuta nafasi sasa,
Uzungumze moyoni utulie
Tafuta nafasi sasa,
Uzungumze moyoni utulie.
Refrain
Aliahidi mwenyewe,
Ataleta faraja tele
Tuliitapo jina lake (Bwana),
Atayajibu maombi.
Refrain II
Unapohuzunika, matumaini kutoweka
Ni wa thamani moyoni
Unapohuzunika, matumaini kutoweka
Ni wa thamani.
Unapohuzunika, matumaini kutoweka
Ni wa thamani moyoni
Unapohuzunika, matumaini kutoweka
Refrain
Aliahidi mwenyewe,
Ataleta faraja tele
Tuliitapo jina lake (Bwana),
Atayajibu maombi.
Refrain II
Unapohuzunika, matumaini kutoweka
Ni wa thamani moyoni
Unapohuzunika, matumaini kutoweka
Ni wa thamani.
Unapohuzunika, matumaini kutoweka
Ni wa thamani moyoni
Unapohuzunika, matumaini kutoweka
Ni wa thamani kwako.
Kurasini SDA Choir.
Kurasini SDA Choir Assorted 2, Kurasini Classics, Bedi Score, Bedi Lyrics