Posts

Showing posts from October, 2025

Nenda Ninawi Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Nenda Ninawi Lyrics sung by Kurasini SDA Choir Verse 1 Nenda Ninawi , Peleka ujumbe (peleka ujumbe) Peleka ujumbe (peleka ujumbe) Nenda Ninawi Yona , Peleka ujumbe wangu Kwamba uovu wao umefika mbele yangu Verse 2 Kawaambie watubu (Kawaambie watubu) Nitangaamiza Ninawi (Nitangaamiza Ninawi) Kaipaze sauti (Kaipaze sauti) Watu wote wanapaswa kutubu, Wanadamu na wanyama Na vyote vilivyoumbwa na Mungu, Vyote vimlilie Mungu muumbaji Verse 3 Yona hakutaka kwenda Ninawi Kapanda merikebu ya Tarshishi Akijua anamkimbia Mungu Masikini Yona mtumishi wa Mungu hakujua, Mungu yuko pande zote Verse 4 Wakiwa baharini tufani ikavuma Upepo ukaipiga ile merikebu Meli ikatikiswa (ikatikiswa) Karibu ya kupasuka vipande vipande (vipande vipande) Yona hana habari (hana habari) Amefichiwa na usingizi (usingizi) ‘Amka! Wewe, Amka! Wewe, Usilale usingizi, Muombe Mungu wako atuokoe’ Verse 5 Yona alipoamka na kuona tufani, Akagundua kosa lake kwa Mungu Kamwambia nahodha, ‘Ili ninyi mpone…, Nitupeeni mimi baharin...

Upendo wa Yesu Lyrics sung by Light Group Ministry

Upendo wa Yesu Lyrics sung by Light Group Ministry 1. Upendo wa Yesu kwangu Upendo usiokipimo Japo dunia iishe ndugu Upendo wa Yesu waninitosha Chorus Upendo wa Yesu kwangu watosha Hakuna cha kulinganishwa na dunia hii Nimetafuta kote Hakuna upendo mwingine kama wa Yesu 2. Upendo ulimfanya Muumba wa mbingu na nchi Ashuke chini kutufilia Kutuokoa kwa dhambi zetu 3. Aliuwawa Bwana Yesu Kifo hicho cha msalaba Upendo wake kwa wenye dhambi Ulimpa kifo cha aibu. Light Group Ministry. Light Group Ministry, Bedi Score, Bedi Lyrics

Sikia Sauti Ya Bwana Lyrics sung by Light Group Ministry

Sikia Sauti Ya Bwana Lyrics sung by Light Group Ministry 1. Sikia sauti ya Bwana Inenayo moyoni Subira inanijia Kwa maneno hayo Giza litatoweka Majaribu yakome Subiri nuru ijayo Mvua itapokoma Chorus Manemo matamu Yanayonipa nguvu Yanituliza moyo Nipitapo shidani 2. Hata katika dhiki Nipitapo bondeni Hatari zinikumbapo Yeye huniongoza Huzuni zinikumbapo Kamwe sitachoka Subiri nuru ijayo Mvua itakapokoma. Light Group Ministry. Light Group Ministry, Bedi Score , Bedi Lyrics Whispering Hope / Soft as the Voice of an Angel

Panapo Pendo Lyrics sung by Light Group Ministry

Panapo Pendo Lyrics sung by Light Group Ministry 1. Vitu vyote ni sawa, Panapo pendo Kila sauti tamu, Panapo pendo Pana amani pale, Na furaha nyumbani Siku zote salama, Panapo pendo Chorus Panapo upendo , Siku zote salama, Panapo pendo. 2. Furaha i nyumbani, Panapo pendo Hapana machukizo, Panapo pendo Chakula ni kitamu, Mashamba ya sitawi Maisha ni kamili, Panapo pendo 3. Hata mbinguni juu, Pana furaha Wakiona upendo, Nyumbani mwetu Macho yanapendezwa, Na viumbe vya Mungu Naye Mungu huona, Panapo pendo 4. Ee Yesu niwe wako, Wako kabisa Ndipo patakuwako, Pendo nyumbani Nitakaa salama, Sitaifanya dhambi Nitabarikiwa tu, Panapo pendo. Light Group Ministry. Light Group Ministry, Bedi Score, Bedi Lyrics Nyimbo za Kristo No 184 . ( There Is Beauty All Around )

Pana Mahali Pazuri Mno Lyrics sung by Light Group Ministry

Pana Mahali Pazuri Mno Lyrics sung by Light Group Ministry 1. Pana mahali pazuri mno Twapaona kwa mbali sasa Baba yetu angoja pale Amepanga makao yetu Refrain Kitambo tu bado Tutakutana ng’ambo pale Kitambo tu bado Tutakutana ng’ambo pale 2. Tutaimba pale kwa moyo Nyimbo tamu za wenye heri Na rohoni hatutaona Tena haja ya kupumzika 3. Kwa Baba yetu mkarimu Tutatoa shukrani sana Kwa kipaji cha pendo lake Na baraka anazotupa. Light Group Ministry. Light Group Ministry, Bedi Score , Bedi Lyrics Nyimbo za Kristo No. 180 ( In the Sweet By and By / There’s a Land )

Nipe Neno Lyrics sung by Light Group Ministry

Nipe Neno Lyrics sung by Light Group Ministry 1. Nipe neno niweze kusema Itakayo mbingu kwa wanadamu Walioasi warejeshwe zizini mwako Chorus  Umetupa mamlaka duniani kote Tulihubiri neno lako Tukawaletee walopotea Warejee kwako 2. Kwa imani kamwe sihofu Neno lako faraja kwa waloasi Wasikiapo warejee zizini mwako. Light Group Ministry. Light Group Ministry, Bedi Score, Bedi Lyrics

Niimbe Pendo Lake Lyrics sung by Light Group Ministry

Niimbe Pendo Lake Lyrics sung by Light Group Ministry 1. Niimbe (Niimbe) pendo lake, Pendo la (Pendo la) Yesu Bwana ; Sababu (Sababu) alitoka Kwa Baba, akafa Chorus Niimbe (Niimbe) pendo lake; Sifa kuu (Sifa kuu) nitatoa; Akafa (Akafa) niwe hai, Niimbe pendo lake 2. Machozi (Machozi) alitoa  Ijapo (Ijapo) sijalia; Maombi (Aaombi) yangu bado, Aniombeapo 3. Upendo (Upendo) kubwa huo! Dunia (Dunia) haijui Samaha (Samaha) kwa makosa Kubwa kama yangu 4. Hapana (Hapana) tendo jema Ambalo (Ambalo) nilitenda, Nataka (Nataka) toka leo  Nimwonyeshe pendo. Light Group Ministry. Light Group Ministry, Bedi Score, Bedi Lyrics Nyimbo za Kristo No. 031 ( I Will Sing of Jesus Love )

Ni Yeye Lyrics sung by Light Group Ministry

Ni Yeye Lyrics sung by Light Group Ministry 1. Ni yeye anayejua shida zetu, Kwani ndiye aliyetufilia Aliacha enzi yake kule juu, Wewe nami tuokolewe Refrain Ndiye Yesu Mwokozi Anatutakasa  Ajua shida zetu Nani kama yeye? 2. Ni yeye anayejua shida zetu, Majaribu tunayoyapitia Hata pale tunapokata tamaa Bado yu mwaminifu kwetu. Light Group Ministry. Light Group Ministry, Bedi Score , Bedi Lyrics

Mlangoni Pa Moyo Lyrics sung by Light Group Ministry

Mlangoni Pa Moyo Lyrics sung by Light Group Ministry 1. Mlangoni pa moyo ; Mgeni! (Amesimama) Amesimama pale, Mgeni! (Amesimama) Umkaribishe sasa, Umkaribishe Mwana Wa Baba wa upendo: Mgeni! (Umkaribishe) 2. Moyo wako kwa Bwana, Fungua (Fungulieni) Asikuache mbali, Fungua (Fungulieni) Umkubali Rafiki, Roho atafariji Naye atakutunza: Fungua (Fungulieni)  3. Usikie sauti Ya Bwana (Uisikie) Uyachague mambo Ya Bwana (Mambo ya Bwana) Ufungue mlango, Usimwambie bado Jina lake tumai; Yu Bwana (Jina la Bwana) 4. Na ufungue moyo, Kwa Bwana (Fungulieni) Utapewa msaada, Wa Bwana (Msaada wetu) Uzuri utavikwa Dhambi ataondoa, Ukifungua moyo. Kwa Bwana (Fungulieni) Light Group Ministry. Light Group Ministry, Bedi Score , Bedi Lyrics Nyimbo za Kristo No. 157 ( There's a Stranger at the Door )

Ombi Langu Lyrics sung by Light Group Ministry

Ombi Langu Lyrics sung by Light Group Ministry 1. Mara nyingi nimezama katika mawazo Hata lini shida za dunia zitakoma Lakini najua siku itafika Haya yote yatapita Siku ile Yesu arudipo Refrain Majina yaitwapo Jina langu na liwepo Watakatifu wasimamapo Nami niwe kati yao Wakivikwa taji (Taji yangu mimi nayo) Taji yangu na iwepo Ombi langu Bwana (Ewe Yesu) Nikuone katika utukufu wako Ombi langu Bwana (Ewe Yesu) Nikuone katika utukufu wako 2. Wengi wameacha nuru iliyo ya kweli Wamezamia mambo ya dunia yapitayo  Lakini najua siku itafika  Haya yote yatapita siku ile Yesu arudipo. Light Group Ministry. Light Group Ministry, Bedi Score , Bedi Lyrics

Ikumbukeni Sabato Lyrics sung by Light Group Ministry

Ikumbukeni Sabato Lyrics sung by Light Group Ministry 1. Ikumbukeni Sabato Sabato ya Bwana Siku nzuri yenye raha Kupita siku zote Siku nzuri yenye raha Kupita siku zote Chorus Ni mpango wa Mungu Kwa kupanga siku sita Kutana siku ya saba Sabato takatifu Kutana siku ya saba Sabato takatifu 2. Moyo wangu wanivuta Niingie Sabato Ili kujifurahisha Kwa mambo ya Mungu. Light Group Ministry. Light Group Ministry, Bedi Score , Bedi Lyrics Adapted from Nyimbo za Kristo No. 084 ( Don’t Forget the Sabbath

Hatujui Saa Lyrics sung by Light Group Ministry

Hatujui Saa Lyrics sung by Light Group Ministry 1. Hatujui saa ya kuja kwwa Bwana, Lakini dalili zasema karibu Atakaporudi, lakini kwa kweli Hatujui saa Chorus Atakuja, kwa vile tukeshe; Atakuja Mwokozi, Aleluya! Atakuja kwa fahari ya Baba yake, Hatujui saa 2. Pana nuru kwao wapendao haki, Pana kweli katika chuo cha Mungu; Unabii hufundisha kuja kwake, Hatujui saa 3. Tutakesha na tutaomba daima, Tutafanya kazi mpaka akija, Tutaimba na tutasoma ishara, Hatujui saa. Light Group Ministry. Light Group Ministry, Bedi Score, Bedi Lyrics Nyimbo za Kristo No. 173 ( We Know Not the Hour )

Tutaingia Mji Lyrics sung by Hope Voice Group

Tutaingia Mji Lyrics sung by Hope Voice Group 1. Tutaingia mji mtakatifu , Yerusalemi mji wa Mungu Washindi wote tutaingia, Tutalakiwa na Bwana wetu Yesu Washindi wote tutaingia, Tutalakiwa na Bwana wetu Yesu Refrain Tutakusanyika mbele zake, Mungu wetu Mataifa yote, lugha hata na jamaa Tutashangilia wokovu wetu milele na milele 2. Mwokozi wetu atatukaribisha, Tutashangaa kwa mambo mapya Tutaonana na ndugu zetu, Tulotengana sababu ya mauti Tutaonana na ndugu zetu, Tulotengana sababu ya mauti 3. Mji wa Mungu ni mji wa amani, Hakuna vita wala mauti Tupige vita tushinde wote, Na tuingie tuishi naye Bwana Tupige vita tushinde wote, Na tuingie tuishi naye Bwana. Hope Voice Group . Hope Voice Group, Bedi Score, Bedi Lyrics

Tule Nini Lyrics sung by Hope Voice Group

Tule Nini Lyrics sung by Hope Voice Group 1 ‘Tule nini? Tuvae nini?’ Tumwachie Bwana Tunahangaika usiku na mchana Kwamba tule nini, Tuvae nini Hata twamsahau Bwana Hapa duniani sote tuwapitaji Hata muda wetu ni mfupi Twapita kama maua Refrain Bwana asema, ‘Tazameni ndege wa angani Hata maua ya kondeni yanavyochanua Nyinyi je si bora, kuliko wao? Tafuteni ufalme wa Mungu wetu Nayo, Mahitaji mtazidishiwa’ 2. Kwa kuhangaika twadhani twaongeza Hata kimo chetu, Maisha yetu Pasipo na Bwana Mungu, Tunajidanganya tunapotegemea Hasa nguvu zetu akili zetu, Na kumsahau Bwana. Hope Voice Group. Hope Voice Group, Bedi Score , Bedi Lyrics

Tafakari Upendo Lyrics sung by Hope Voice Group

Tafakari Upendo Lyrics sung by Hope Voice Group 1. Tafakari upendo wa Yesu , Kwa wanadamu wote Aliacha enzi utukufu wake, Kazaliwa horini mwa wanyama Aliacha enzi utukufu wake, Kazaliwa horini mwa wanyama Refrain Anabisha mlangoni , Anataka kuingia Mruhusu aingie, Afanye makao nawe Ooh - Fungua mlango Yesu aingie , Uwe ni kiumbe kipya Ooh - Fungua mlango Yesu aingie, Uwe ni kiumbe kipya 2. Kuja kwake kuzaliwa kwake, Dhihirisho la pendo Aliacha yote kwa ajili yako, Mfalme kazaliwa kwa aibu Aliacha yote kwa ajili yako, Mfalme kazaliwa kwa aibu 3. Mruhusu azaliwe kwako, Ndani ya moyo wako Atabadilisha yaliyo magumu, Nawe utakuwa kiumbe kipya Atabadilisha yaliyo magumu, Nawe utakuwa kiumbe kipya. Hope Voice Group. Hope Voice Group, Bedi Score , Bedi Lyrics

Pumzi Ya Uhai Lyrics sung by Hope Voice Group

Pumzi Ya Uhai Lyrics sung by Hope Voice Group 1. Pumzi ya uhai inapotoweka, Mwili ukibaki pekee yake Pale pale tukiwa tumelala, Neno lasema tumekufa Pale pale tukiwa tumelala, Neno lasema tumekufa Refrain ( Kifo ) Kifo umetutenga na wazazi, Umetutenga na watoto wetu Wapendwa wengi wamelala, Wanasubiri ufufuo 2. Mwili ukishushwa ndani ya kaburi, Watu wakilia kwa huzuni Matumaini yao yatoweka, Wengi hawana msaada Matumaini yao yatoweka, Wengi hawana msaada 3. Tunaye rafiki aloshinda kifo, Aliyefufuka toka kwa wafu Ndiye Yesu Mwokozi wa dunia , Tukimwamini tutaishi Ndiye Yesu Mwokozi wa dunia, Tukimwamini tutaishi. Hope Voice Group. Hope Voice Group, Bedi Score , Bedi Lyrics

Parapanda Ya Bwana Lyrics sung by Hope Voice Group

Parapanda Ya Bwana Lyrics sung by Hope Voice Group 1. Parapanda ya Bwana italia, Wafu wote watafufuka (Watafufuka) Ni wale tu waliotunza agano , Kati yao na Mungu wao Refrain 1 Watashangilia kushinda kifo , Wataruka (ruka ruka) kama ndama Wataishi naye Mwokozi wao , Siku zote (milele) hata milele 2. Siku hiyo machozi yatakoma, Watu wote washangilia (Washangilia) Tutasema u wapi ewe mauti, Chanzo chako kushinda kwako? (Refrain 1) 3. Kamwe hatutaweza tangulia-aah, Kumlaki Bwana ajapo (Bwana ajapo) Walolala watafufuliwa kwanza , Kwa pamoja tutamlaki. Refrain 2 Tutashangilia kushinda kifo, Tutaruka (ruka ruka) kama ndama Tutaishi naye Mwokozi wetu, Siku zote (milele) hata milele. Hope Voice Group. Hope Voice Group, Bedi Score , Bedi Lyrics

Ondoka Ukatangaze Lyrics sung by Hope Voice Group

Ondoka Ukatangaze Lyrics sung by Hope Voice Group 1. Ondoka ukatangaze hukumu ( Ya Bwana ), Mwisho umekaribia watubu Waeleze kwamba Bwana yuaja , Kuhukumu watu wote kwa haki Watangazie kwamba mwisho uko karibu , Watasimama mbele ya kiti cha hukumu Watangazie kwamba mwisho uko karibu, Watasimama mbele ya kiti cha hukumu Refrain Ondoka, Peleka neno kwa wahitaji , Huduma yako yahitajika Ni agizo lake Mungu wetu , Watu waokolewe 2. Tazama mavuno yamekomaa , Nani kwenu yu tayari aende Ni agizo lake Bwana kwa wote , Waitwao wanafunzi wa kweli Watasimama kuwaonya watu watubu , Wawe tayari kwa siku ile ya hukumu . Hope Voice Group. Hope Voice Group, Bedi Score , Bedi Lyrics

Tafakari (Itakuwaje) Lyrics sung by Hope Voice Group

Tafakari (Itakuwaje) Lyrics sung by Hope Voice Group Prelude Uuuh-Uuuuh, Uuuh-Uuuuh Uuuh-Uuuuh, Uuuh-Uuuuh Tafakari, 1. Hebu tafakari kisa kile cha wakati wa Nuhu Waliangamizwa watu wengi kwani hawakujali Refrain 1 Sasa tutaponaje sisi kama tusipojali? Tutakuwa sawa na wale walioangamizwa Sasa tutaponaje sisi kama tusipojali? Tutakuwa sawa na wale walioangamizwa Itakuwaje siku ile ya mwisho? Tutaponaje? Tusipojali wokovu tutaponaje siku hiyo? Sasa tutaponaje sisi kama tusipojali? Tutakuwa sawa na wale walioangamizwa Sasa tutaponaje sisi kama tusipojali? Tutakuwa sawa na wale walioangamizwa 2. Hata katika siku za Lutu walikataa onyo Waliangamizwa watu wengi kwani hawakujali Refrain 1 3. Ni mara ngapi rafiki yangu umekataa onyo? Ni mara ngapi rafiki yangu umepuuza wito? Refrain-2 Sasa utaponaje ndugu kama usipojali? Utakuwa sawa na wale walioangamizwa Sasa utaponaje ndugu kama usipojali? Utakuwa sawa na wale walioangamizwa Itakuwaje siku ile ya mwisho? Tutaponaje? Tusipojali wokovu...

Machoni Pa Bwana (Mtini Kalvari) Lyrics sung by Hope Voice Group

Machoni Pa Bwana ( Mtini Kalvari ) Lyrics sung by Hope Voice Group 1. Machoni pa Bwana sote tu wenye dhambi Ajabu pendo lake Ni pendo lililo kuu Lililotutafuta ingawa tulikosa Ni pendo la ajabu Yesu alionyesha Lililotutafuta ingawa tulikosa Ni pendo la ajabu Yesu alionyesha Refrain Mtini (Mtini) Kalvari Yesu alionyesha upendo wake kweli, Kila amwaminiye yu na uzima tele Mtini (Mtini) Kalvari Yesu alishalipa madai ya Shetani Kila amwaminiye yu na uzima tele 2. Japo tulikosa tukamuasi Mungu Alimtuma Mwana mpatanishi wetu Ni kwa neema yake sote twaokolewa Ni pendo la ajabu Bwana alionyesha Ni kwa neema yake sote twaokolewa Ni pendo la ajabu Bwana alionyesha. Hope Voice Group. Hope Voice Group, Bedi Score , Bedi Lyrics

Msifadhaike Mioyoni Lyrics sung by Hope Voice Group

Msifadhaike Mioyoni Lyrics sung by Hope Voice Group 1. Msifadhaike mioyoni mwenu Mnawamini Mungu Baba niamini nami Nyumba mwa Baba kuna makao mengi Kama si hivyo ningaliwaambia Nyumba mwa Baba kuna makao mengi Kama si hivyo ningaliwaambia Refrain Bwana wetu uje sasa mioyo yakusubiri Mapambazuko yakaribia (Yakaribia) Si mbali mbali yuaja, Bwana wa utukufu Kuwachukua wateule wake Si mbali mbali yuaja, Bwana wa utukufu Kuwachukua wateule wake 2. Miaka imepita siku zaenda Mwokozi wetu uje sasa tunakusubiri Tunahangaika nayo maisha haya Uje Mwokozi tunakusubiri Tunahangaika nayo maisha haya Uje Mwokozi tunakusubiri. Hope Voice Group. Hope Voice Group, Bedi Score , Bedi Lyrics

Mapambazuko Lyrics sung by Hope Voice Group

Mapambazuko Lyrics sung by Hope Voice Group 1. Mapambazuko yako karibu Tuweni macho na ya dunia Mapambazuko yako karibu Tuweni macho na ya dunia Tuyaonayo yanaonyesha Mwokozi wetu yu mlangoni Refrain (Naacha) Naacha ya dunia nakwenda kwa Yesu Sihitaji chochote nataka nimwone Bwana Dunia sio kwetu (Kwetu), Kwetu ni juu mbinguni Hitaji la moyoni (yoni) umpokee Yesu wangu Dunia sio kwetu (Kwetu), Kwetu ni juu mbinguni Hitaji la moyoni (yoni) umpokee Yesu wangu 2. Mwisho wa yote Tutapumzika Taabu zote zitatoweka Mwisho wa yote Tutapumzika Taabu zote zitatoweka Mwokozi Yesu Atayafuta machozi yote Kwa watu wake. Hope Voice Group. Hope Voice Group, Bedi Score , Bedi Lyrics

There’s a Time Lyrics sung by Saro's Family

There’s a Time Lyrics sung by Saro's Family Verse 1 There’s a time you feel lonely A time you are so weary And you look around You hope to find somebody But nobody cares for you So you look for direction, ‘Cause you have no peace in you Just turn your eyes on him He is more than ready, To lift you up (To lift you, to lift you up) Verse 2 Remember the promise that Jesus promised To be with you till the end And he will send His Holy Spirit To teach and guide you So don't you worry, And never give up The Lord is with you All the way, everyday The Lord is with you All the way, everyday Verse 3 So come ma’ Lord Come rescue me I say come my Lord Come rescue me I can never make it alone Verse 4 Alone I can’t (cannot) Alone I won’t (will not) Alone I can’t (cannot) Alone I won’t (will not) Alone I can’t (cannot) Alone I won’t (won’t) Verse 4b Outro I can never make it alone. I can never make it alone. Saro's Family. Saro’s Family, Bedi Score , Bedi Lyrics

Njooni Tusemezane Lyrics sung by Saro's Family

Njooni Tusemezane Lyrics sung by Saro's Family Chorus “Njooni tusemezane,” Asema Bwana , “Dhambi zenu... “Njooni tusemezane,” Asema Bwana, “Dhambi zenu, Japo nyekundu , Zitakuwa nyeupe , Dhambi zenu, Japo nyekundu, Zitasafirishwa kabisa Dhambi zenu, Japo nyekundu, Zitakuwa nyeupe, Dhambi zenu, Japo nyekundu, Zitasafirishwa kabisa” Verse 1 Kwa jinsi hii hii ya upendo mkubwa Mungu alimtoa mwanawe pekee Akafa msalabani, Kwa sababu ya dhambi zetu Chorus “Njooni tusemezane,” Asema Bwana, “Dhambi zenu... Dhambi zenu, Japo nyekundu, Zitakuwa nyeupe, Dhambi zenu, Japo nyekundu, Zitasafirishwa kabisa” Verse Tubuni dhambi, Na mkarejee Mshahara wa dhambi, Ni mauti jameni Ni dhambi zilizofanya, Bwana Yesu asulubiwe Chorus “Njooni tusemezane,” Asema Bwana, “Dhambi zenu... Dhambi zenu, Japo nyekundu, Zitakuwa nyeupe, Dhambi zenu, Japo nyekundu, Zitasafirishwa kabisa Dhambi zenu, Japo nyekundu, Zitakuwa nyeupe, Dhambi zenu, Japo nyekundu, Zitasafirishwa kabisa” Saro's Family. Saro’s Family, ...

Nasema Njoo Ndani Yangu Lyrics sung by Saro's Family

Nasema Njoo Ndani Yangu Lyrics sung by Saro's Family Verse I Ooh, Nasema Njoo, Ndani yangu                          (Nasema njoo) Ndani ya moyo wangu (Ndani yangu) Nasema Njoo, Ndani yangu                         (Nasema njoo) Ndani ya moyo wangu (Ndani yangu) Moyo wangu chunguza ( Ewe Baba ) Macho yangu tawala, Bwana Macho yangu tawala, Bwana Verse II Tawala mwili wangu; Ni hekalu (Wangu) Ukiwa ndani yangu; Nina uzima tele Tawala moyo wangu (Moyo); Ni chemichemi (Chemichemi) Ukiwa ndani yangu; Nina uzima tele Verse IIIa Nimechoka (Nimechoka) Nime…(Baba) Nimechoka (Nimechoka) Kutawalwa na yule mwovu Shetani , Baba (Ooh Niokoe) Niokoe, (Niokoe) Niokoe (Niokoe) Nimezama dhambini ninapotea, Baba Nisamehe (Nisamehe), Nisamehe, Ewe Baba Dhambi zangu ni nyingi zanilemea, Baba N’shike mkono (‘Shike mkono), N’shike mkono (‘Shike mkono) Kutembea upweke mimi nashind...

I Have Found Lyrics sung by Saro's Family

I Have Found Lyrics sung by Saro's Family Verse I have... I have… I have found somebody ah, Somebody (Somebody) I have found somebody ah, Somebody (Somebody) I have found somebody who cares for me (for me) And I know who-Uuh… And I know who-Uuh… And I know there's nothing to worry (To worry) I know you may not agree And I know you may not believe me I know you may not agree And I know you may not believe me Refrain I/Uh have… (I have found)  O yes, I have; Jesus Christ Jesus ; He’s more than golden money Uuh/+However, (However), Oh yes, However, Sophisticated However, A weapon will not kill my soul Down he came, Uuh And died for me, Uuh Nothing more I need from him than eternal life Down he came, Uuh And died for me Uuh Nothing more I need from him than eternal life Verse He doesn't… He doesn't… He doesn't count anybody’s sins (Sins) He doesn't count anybody’s sins (Sins) He doesn't count anybody’s sins (Sins) If you repent Uuh… If you repent Uuh… If you rep...

Fungana Virago Lyrics sung by Saro's Family

Fungana Virago Lyrics sung by Saro's Family Rrelude Ah, We, Toka, Ah, Shetani , Nenda, Ah Toka! Toka! Toka! Chorus 1 Fungana fungana virago Shika njia nenda zako (Shetani wee) Fungana fungana virago (Wewe) Shika njia nenda zako wee Fungana fungana virago (Shetani) Shika njia nenda zako (Ebu we) Fungana fungana virago Shika njia nenda zako wee Verse 1/Chorus 2 Umenitosha Umen'sumbua Shika njia nenda zako wee Umenichosha Wanikanganya Shika njia nenda zako Mwili wangu ni hekalu wee Wala sio nyumba yako, Shetani Chorus 1 Fungana fungana virago (Toka) Shika njia nenda zako (Nenda) Fungana fungana virago (Toka) Shika njia nenda zako wee (Toka Toka wee) Fungana fungana virago (Nenda) Shika njia nenda zako (Toka) Fungana fungana virago (Toka) Shika njia nenda zako wee (Toka Toka wee) Verse 2 Wacha niseme wala hakuna utani Ikiwa Shetani ndiye dereva jamani Basi samahani maovu yote ni ndani Basi samahani maovu yote ni ndani Verse 1/Chorus 2 Umenitosha Umen'sumbua Shika njia nenda ...

Down To Find My Lover Lyrics sung by Saro's Family

Down To Find My Lover Lyrics sung by Saro's Family Prelude This goes to all the people; God so love the world . 1. I’m going down to find my lover Going down to get my lover You know, She lost her way to me; “Come my bride” (I’m gonna meet) Refrain I say, I better perish for my lover Oh yes, Hung on the cross for her Pay the ransom , get my lover Oh yes, to her my own wife 2. I'm going to that big city (going down) In that harlotry house You know, from that lover she has “Come my bride” (I'm going down) Outro For God so loved the world He sent Jesus on Earth Oh Yes, Who hanged on the cross for us “Come my bride.” (He so loved the world) Saro's Family. *Oh yes, to her my own wife; To get her as my (only) own wife; Presents the ownership Jesus claims on the church as the wife . Saro’s Family, Bedi Score , Bedi Lyrics